• COASCO

    JENGO LA OFISI YA COASCO MAKAO MAKUU

    Muonekano wa Jengo la ofisi za Shirika la Ukaguzi na Usimamizi wa Vyama vya Ushirika (COASCO) lilipo mjini Dodoma ambapo ndio Makao makuu
  • COASCO

    MKUTANO WA WAKAGUZI WA USHIRIKA WA MIKOA

    Picha ya pamoja baada ya Mkutano wa Wakaguzi wa Ushirika wa Mikoa (RCA's) na Menejimenti ya COASCO iliofanyika Makao Makuu ya Shirika jijini Dodoma siku ya alhamisi na ijumaa kuanzia tarehe 18 hadi 19 mwaka 2022
  • COASCO

    MKUTANO WA BARAZA KUU LA WAFANYAKAZI

    Menejimenti ya COASCO pamoja na Wajumbe wa Baraza kuu la wafanyakazi COASCO wakiwa kwenye picha ya pamoja baada Mkutano kilichofanyika Tarehe 28/10/2022 Ukumbi wa Maktaba jijini Dodoma
  • COASCO

    KIKAO CHA BODI YA WAKURUGENZI YA COASCO

    Mwenyekiti wa Bodi ya Wakurugenzi ya COASCO Ndugu Yona Killagane akiwa kwenye kikao na wajumbe wa Bodi pamoja na Menejementi ya COASCO Kilichofanyika tarehe 16.12.2022 katika ukumbi wa LAPF Mjini Dodoma
  • COASCO

    Bodi ya usimamizi wa vyama vya ushirika yajengewa uwezo

    Mwenyekiti wa Bodi ya Shirika la Ukaguzi na Usimamizi wa Vyama vya Ushirika(COASCO), CPA Yona Kilagane, ameushukuru uongozi wa Taasisi ya Uongozi kwa kutoa mafunzo ya Usimamizi bora wa Mashirika ya Umma yatakayowajenga uwezo watendaji katika usimamizi wa Vyama vya Ushirika.
  • COASCO

    Wajumbe wa Bodi ya Wakurugenzi ya COASCO

    Wajumbe wa Bodi ya Wakurugenzi ya COASCO wakiwa katika Semina juu ya Majukumu ya Bodi katika Taasisi za Umma iliyoendeshwa na Taasisi ya Uongozi jijini Arusha tarehe 17 hadi 19'Januari 2023
  • COASCO

    KIKAO CHA BODI YA WAKURUGENZI COASCO KUJADILI BAJETI YA SHIRIKA MWAKA 2023/2024

    Mwenyekiti wa Bodi ya Wakurugenzi ya COASCO, CPA Ndugu Yona Killagane waliokaa upande wa kushoto akiwa kwenye picha ya pamoja na wajumbe wa Bodi pamoja na Menejementi ya COASCO baada ya kikao cha bajeti Kilichofanyika tarehe 27.04.2023 katika ukumbi wa LAPF Mjini Dodoma
  • COASCO

    WAJUMBE WA BODI YA WAKURUGENZI YA COASCO

    Baadhi ya Wajumbe wa Bodi ya Wakurugenzi ya COASCO wakiwa kwenye kikao cha kujadili Bajeti ya Shirika ya mwaka wa Fedha 2023/2024 kilichofanyika kwenye ukumbi wa LAPF jijini Dodoma tarehe 27.04.2023
  • COASCO

    WATUMISHI WA COASCO WAKITOA ELIMU SIKU YA USHIRIKA DUNIANI

    Watumishi COASSCO wakitoa elimu kwa wateja waliotembelea katika banda la Maadhimisho ya Siku ya Ushirika Duniani SUD, ipuli Tabora 2023
  • COASCO

    WATUMISHI WA COASCO WAKITOA ELIMU KWA WADAU WA USHIRIKA SUD TABORA

    Watumishi wakimsikiliza mmoja wa wadau waliokuwepo kwenye maadhimisho ya SUD 2023
  • COASCO

    KAIMU MKURUGENZI MKUU WA COASCO CPA J.J. MUGETA AKIFAFANUA JAMBO KWA WAZIRI WA KILIMO.

    Kaimu Mkurugenzi Mkuu wa COASCO CPA J.J. Mugeta akitoa ufafanuzi kuhusu utendaji wa Shirika kwa Waziri wa Kilimo Mhe. Hussein Bashe alipotembelea katika banda la Shirika wakati wa Maadhimisho ya sherehe ya Siku ya Ushirika Duniani (SUD) 2023, Ipuli Tabora.
  • COASCO

    WAZIRI WA KILIMO AKITOA MAELEKEZO KWA KAIMU MKURUGENZI WA SHIRIKA LA COASCO.

    Waziri wa Kilimo Mhe. Hussein Bashe alitoa maelekezo kwa Kaimu Mkurugenzi wa COASCO CPA J.J. Mugeta kuwa “Bodi ya TCDC na Bodi ya COASCO wakae pamoja ili kuweza kuandaa mikakati ya kupunguza changamoto zinazotokea katika vyama vya Ushirika.” Mhe. Bashe aliyasema hayo wakati wa maonesho ya
  • COASCO

    WAZIRI WA KILIMO ALIPOTEMBELEA KIJIJI CHA USHIRIKA KWENYE MAONESHO YA NANENANE 2023 MBEYA.

    Waziri wa Kilimo Mhe, Hussein Bashe akisaini kwenye kitabu cha Wageni wakati wa Ziara yake katika mabanda ya Kijiji cha Ushirika kwenye Maonesho ya Nanenane 2023 Jijini Mbeya.
  • COASCO

    KAIMU MKURUGENZI MKUU WA COASCO AKIONGEA NA MRAJIS NA MTENDAJI MKUU WA TCDC.

    Kaimu Mkurugenzi Mkuu wa COASCO CPA J.J. Mugeta akitoa maelezo mbalimbali yanayohusu Shirika hilo kwa Mrajis na Mtendaji Mkuu wa TCDC, Dr. Benson Ndiege, alipotembelea banda la Shirika kwenye Maonesho ya Nanenane 2023 Jijini Mbeya.
  • COASCO

    KAIMU MKURUGENZI WA UKAGUZI CPA GOLDEN KAJABA AKIONGEA NA MDAU.

    Kaimu Mkurugenzi wa Ukaguzi CPA Golden Kajaba akitoa ufafanuzi kuhusu Ukaguzi wa Vyama vya Ushirika wa mwaka 2022/2023 kwa mmoja wadau waliotembelea banda la COASCO kwenye Maonesho ya Nanenane 2023 Jijini Mbeya.
  • COASCO

    MWENYEKITI WA TFC ALIPOTEMBELEA BANDA LA COASCO NANENANE 2023 MBEYA

    Mwenyekiti wa Shirikisho la Vya Ushirika Tanzania (TFC), Charles Jishuli, akiongea na Kaimu Mkurugenzi Mkuu wa Shirika CPA J.J. Mugeta wakati wa Maonesho ya Nanenane Jijini Mbeya.
  • COASCO

    MAADHIMISHO YA SIKU YA KIMATAIFA YA USHIRIKA WA AKIBA NA MIKOPO 2023, MWANZA

    KAIMU MKURUGENZI WA COASCO CPA J.J MUGETA AKITOA UFAFANUZI WA AINA ZA HATI KWA MRAJIS NA MTENDAJI MKUU WA TCDC DR. BENSON NDIEGE KWENYE MAADHIMISHO YA KIMATAIFA YA SIKU YA USHIRIKA WA AKIBA NA MIKOPO 2023, YANAYOFANYIKA KATIKA VIWANJA VYA FURAHISHA JIJINI MWANZA
  • COASCO

    ZIARA YA KATIBU TAWALA MKOA WA MWANZA KWENYE MAADHISHO YA ICUD 2023

    Katibu Tawala Mkoa wa Mwanza Ndg Balandya Elikana, ameipongeza COASCO kwa kazi nzuri ya ukaguzi, usimamizi na ushauri wanaoutoa kwa vyama vya Ushirika, alipotembelea banda la Shirika katika maadhimisho ya siku ya ushirika wa akiba na mikopo Duniani (ICUD) katika viwanja vya Furahisha Jijini Mwanza
  • COASCO

    KAIMU MKURUGENZI MKUU WA COASCO AHUDHURIA KIKAO KAZI CHA WIZARA

    Kaimu Mkurugenzi wa COASCO, CPA J.J Mugeta alihudhuria katika kikao kazi na Waziri wa Kilimo Mhe, Hussein Bashe (Mb) kilichojumuisha Wenyeviti na Watendaji wa Bodi pamoja na Menejimenti ya Wizara ya Kilimo kilichofanyika leo Oktoba 31 Jijini Dodoma.
  • COASCO

    MAFUNZO KWA WATENDAJI WA SACCOS MOROGORO

    Shirika la COASCO limetoa mafunzo kwa Watendaji wa Saccos yenye lengo la kuwajengea uwezo na ujuzi katika masuala ya Uhasibu na Ukaguzi yanayofanyika kuanzia tarehe 21 - 23 Novemba 2023, Mjini Morogoro
  • COASCO

    MAFUNZO KAZI YA MFUMO WA eoffice

    Kaimu Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la COASCO, CPA Jeremiah Mugeta amefungua na kushiriki katika mafunzokazi kwa pamoja na Watumishi wa Makao makuu ya Shirika na Wakaguzi wa Ushirika wa Mikoa (RCA’s) yaliyolenga kuwezesha jinsi ya utumiaji wa mfumo wa eoffice yanayofanyika katika ukumb
  • COASCO

    KIKAO CHA BARAZA LA WAFANYAKAZI COASCO

    Picha ya pamoja ya Menejiment, Wajumbe na baadhi ya Wafanyakazi wa Coasco wamehudhuria katika kikao cha Baraza la Wafanyakazi kilichofanyika mnamo tarehe 08, Disemba 2023 katika ukumbi wa TBA Jijini Dododma.
  • COASCO

    KIKAO CHA 77 CHA BODI YA WAKURUGENZI YA SHIRIKA JIJINI DODOMA

    Picha ya pamoja ya Mkurugenzi Bw, Yona Killagane na Wajumbe wa Bodi ya Wakurugenzi wa Shirika katika kikao cha 77 cha Bodi kilichofanyika katika ukumbi wa PSSSF Jijini Dodoma mnamo tarehe 19-22 Disemba, 2023
  • COASCO

    KIKAO KAZI CHA PAMOJA BAINA YA COASCO NA TCDC

    Shirika la Ukaguzi na Usimamizi wa Vyama vya Ushirika (COASCO) pamoja na Tume ya Maendeleo ya Ushirika TCDC, wamefanya kikao cha pamoja kilichowakutanisha Wakaguzi wa Vyama vya Ushirika wa Mikoa na Warajis wasaidizi; Kikao hicho kimefanyika tarehe 06 Januari, 2024 katika ukumbi wa Mackdon uliopo Ji
  • COASCO

    HERI YA SIKUKUU YA EID EL FITR

    Bodi ya Wakurugenzi, Menejiment na Watumishi wa COASCO, tunawatakia heri ya Sikukuu ya Eid El Fitr Waislam na Watanzania wote.
  • COASCO

    MAFUNZO KUHUSU MASUALA YA KODI

    Shirika la Ukaguzi na Usimamizi wa Vyama vya Ushirika (COASCO) kwa kushirikiana na Mamlaka ya Mapato (TRA) mkoa wa Dodoma wameandaa program maalum inayohusu masuala ya kodi kwa Watendaji na Viongozi wa vyama vya Ushirika nchini ambayo yamefanyika hapa Jijini Dodoma kuanzia tarehe 17 - 19, 2024
  • COASCO

    KIKAO MAALUM CHA BODI YA WAKURUGENZI KUJADILI NA KUIDHINISHA BAJETI YA SHIRIKA 2024/2025

    Bodi ya Wakurugenzi na Menejimenti ya COASCO tarehe 24 April 2024 wamefanya kikao maalum cha kujadili na kuidhinisha Bajeti ya Shirika ya mwaka 2024/2025 katika ukumbi wa PSSSF hapa Jijini Dodoma
  • COASCO

    MAFUNZO KAZI KUTOKA eGa

    Menejimenti ya Shirika la Ukaguzi na Usimamizi wa Vyama vya Ushirika (COASCO) kwa kushirikiana na Wakufunzi kutoka Mamlaka ya Serikali Mtandao (eGa) wamefanya mafunzo kwa Wakuu wa Idara na Vitengo wa Shirika yanayohusu mifumo ya Serikali na jinsi ya kupata misaada mbalimbali ya kimfumo yanapotokea
  • COASCO

    MAADHIMISHO YA SIKU YA USHIRIKA DUNIANI (SUD) 2024

    COASCO YAVITAKA VYAMA VYA USHIRIKA KUWASILISHA TAARIFA ZAO ZA FEDHA Shirika la Ukaguzi na Usimamizi wa vyama vya Ushirika linashiriki maadhimisho ya SUD 2024 yanayofanyika katika viwanja vya nanenane Ipuli Mkoani Tabora kuanzia tarehe 29 Juni 2024 hadi tarehe 06 Julai 2024
  • COASCO

    COASCO YASHIRIKI KATIKA MAADHIMISHO YA SIKU YA USHIRIKA DUNIANI (SUD) 2024 IPULI MKOANI TABORA

    Shirika la COASCO limeshiriki katika maadhimisho ya SUD 2024 Ipuli, Mkoani Tabora na kutoa elimu mbalimbali ikiwemo ya Ushauri kuhusu masuala ya kodi, Utafiti na ukaguzi kwa vyama vya Ushirika
  • COASCO

    MAADHIMISHO YA SUD 2024

    Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Mhe. Dotto Biteko amefunga maadhimisho ya Siku ya Ushirika Duniani (SUD) 2024 Julai 6, 2024 katika viwanja vya nanenane Ipuli, mjini Tabora Akifunga maadhimisho hayo, Naibu Waziri Mkuu Biteko amesema kuwa “Watanzania hawahitaji kujua michakato yetu ya

Welcome to COASCO

The Co-operative Audit and Supervision Corporation (COASCO) were legally established in 1982 by on Act of Parliament No. 15 of 1982. Its primary function was to provide audit, supervision and other consultancy services to Co-operatives in Tanzania. The Act was amended by the Parliament in April 2005 and assented by the President of The United Republic of Tanzania on 6th June, 2005 to empower the corporation to extent its audit and Consultancy services as well to non-Cooperative entities.


Our Services

  • Audit of financial statements
  • Conducting Investigations
  • Provide consultancy services
  • Conducting on job training

Audit & Consultancy Services

  • Audit Services to non Cooperative clients
  • Audit Service to Cooperatives
  • Consultancy Services

Our Clients

  • Cooperatives
  • NGO's
  • Public Coorporation
  • Financial Institutions and Banks
  • Other Companies

Recent Videos

  1. 1
  2. 2
  3. 3
  1. 1
  2. 2
  3. 3

___________________________