Mkutano wa Baraza Kuu la Wafanyakazi
                        
                        
                        
                        
                        
                    
 
                
                            Shirika la Ukaguzi na Usimamizi wa Vyama vya Ushirika tarehe 20 Disemba, 2024 limefanya mkutano cha Baraza kuu la Wafanyakazi katika ukumbi wa PSSSF hapa Jijini Dodoma
                        
                    
                        