Shirika la Ukaguzi na Usimamizi wa Vyama vya Ushirika
(COASCO)
Juma A. Kimori
Mwenyekiti wa Bodi
Jeremiah J. Mugeta
Kaimu Mkurugenzi Mkuu
Previous
Next
KIKAO CHA WATUMISHI CHA KILA MWEZI KIMEFANYIKA MAKAO MAKUU YA SHIRIKA
MALENGO YA KIKAO
• Kupitia maendeleo ya kazi za mwezi uliopita
• Kujadili changamoto na fursa za shirika
• Kupanga shughuli za mwezi ujao
• Kuboresha mazingira ya kazi na ufanisi wa watumishi