COASCO YAUNGANA NA FAMILIA YA MAREHEMU RASHID MRISHO KATIKA KUOMBOLEZA MSIBA
Watumishi wa COASCO wameungana na familia ya marehemu Rashid Mrisho, aliyekuwa Afisa Uhusiano wa Shirika hilo, katika mazishi yaliyofanyika leo tarehe 29 Aprili 2026, kijijini kwao Manoleo, kilichopo Manispaa ya Tabora