SIKU YA KIMATAIFA YA WANAWAKE 2025
                        
                        
                        
                        
                        
                    
 
                
                            Shirika la ukaguzi na Usimamizi wa Vyama vya Ushirika (COASCO) limeshiriki katika maadhimishi ya Siku ya Kimataifa ya Wanawake 2025 yaliyofanyika kimkoa katika viwanja vya Chinangali park hapa Jijini Dodoma
                        
                    
                        