SIKU YA KIMATAIFA YA WANAWAKE 2025
08 Mar, 2025
10:00-14:00
DODOMA
info@coasco.go.tz
Shirika la ukaguzi na Usimamizi wa Vyama vya Ushirika (COASCO) limeshiriki katika maadhimishi ya Siku ya Kimataifa ya Wanawake 2025 yaliyofanyika kimkoa katika viwanja vya Chinangali park hapa Jijini Dodoma
