MAONESHO YA NANENANE 2024
Shirika la Ukaguzi na Usimamizi wa Vyama vya Ushirika (COASCO) linawakaribisha wadau na wananchi wote katika maonesho ya Nanenane yanayoendelea katika viwanja vya Nanenane Nzuguni Jijini Dodoma,
Maonesho hayo yamefunguliwa tarehe 01 Agosti na yatafikia kilele tarehe 08 Agosti 2024
Karibuni nyote
Hakuna Taarifa kwa sasa