• COASCO

    JENGO LA OFISI YA COASCO MAKAO MAKUU

    Muonekano wa Jengo la ofisi za Shirika la Ukaguzi na Usimamizi wa Vyama vya Ushirika (COASCO) lilipo mjini Dodoma ambapo ndio Makao makuu
  • COASCO

    MAADHIMISHO YA SIKU YA USHIRIKA DUNIANI (SUD) 2022

    Waziri wa kilimo Mh. Hussein Bashe pamoja na Mkurugenzi wa Shirika la Ukaguzi na Usimamizi wa vyama vya Ushirika (COASO) Ndugu Zavery Mkingule wakiwa kwenye vibanda vya maonyesho kwenye Maadhimisho ya Siku ya Ushirika Duniani (SUD) 2022 Viwanja vya Ipuli Tabaora.
  • COASCO

    MKUTANO WA WAKAGUZI WA USHIRIKA WA MIKOA

    Picha ya pamoja baada ya Mkutano wa Wakaguzi wa Ushirika wa Mikoa (RCA's) na Menejimenti ya COASCO iliofanyika Makao Makuu ya Shirika jijini Dodoma siku ya alhamisi na ijumaa kuanzia tarehe 18 hadi 19 mwaka 2022
  • COASCO

    MKUTANO WA BARAZA KUU LA WAFANYAKAZI

    Menejimenti ya COASCO pamoja na Wajumbe wa Baraza kuu la wafanyakazi COASCO wakiwa kwenye picha ya pamoja baada Mkutano kilichofanyika Tarehe 28/10/2022 Ukumbi wa Maktaba jijini Dodoma
  • COASCO

    KIKAO CHA BODI YA WAKURUGENZI YA COASCO

    Mwenyekiti wa Bodi ya Wakurugenzi ya COASCO Ndugu Yona Killagane akiwa kwenye kikao na wajumbe wa Bodi pamoja na Menejementi ya COASCO Kilichofanyika tarehe 16.12.2022 katika ukumbi wa LAPF Mjini Dodoma
  • COASCO

    Bodi ya usimamizi wa vyama vya ushirika yajengewa uwezo

    Mwenyekiti wa Bodi ya Shirika la Ukaguzi na Usimamizi wa Vyama vya Ushirika(COASCO), CPA Yona Kilagane, ameushukuru uongozi wa Taasisi ya Uongozi kwa kutoa mafunzo ya Usimamizi bora wa Mashirika ya Umma yatakayowajenga uwezo watendaji katika usimamizi wa Vyama vya Ushirika.
  • COASCO

    Wajumbe wa Bodi ya Wakurugenzi ya COASCO

    Wajumbe wa Bodi ya Wakurugenzi ya COASCO wakiwa katika Semina juu ya Majukumu ya Bodi katika Taasisi za Umma iliyoendeshwa na Taasisi ya Uongozi jijini Arusha tarehe 17 hadi 19'Januari 2023
  • COASCO

    KIKAO CHA BODI YA WAKURUGENZI COASCO KUJADILI BAJETI YA SHIRIKA MWAKA 2023/2024

    Mwenyekiti wa Bodi ya Wakurugenzi ya COASCO, CPA Ndugu Yona Killagane waliokaa upande wa kushoto akiwa kwenye picha ya pamoja na wajumbe wa Bodi pamoja na Menejementi ya COASCO baada ya kikao cha bajeti Kilichofanyika tarehe 27.04.2023 katika ukumbi wa LAPF Mjini Dodoma
  • COASCO

    WAJUMBE WA BODI YA WAKURUGENZI YA COASCO

    Baadhi ya Wajumbe wa Bodi ya Wakurugenzi ya COASCO wakiwa kwenye kikao cha kujadili Bajeti ya Shirika ya mwaka wa Fedha 2023/2024 kilichofanyika kwenye ukumbi wa LAPF jijini Dodoma tarehe 27.04.2023

Welcome to COASCO

The Co-operative Audit and Supervision Corporation (COASCO) were legally established in 1982 by on Act of Parliament No. 15 of 1982. Its primary function was to provide audit, supervision and other consultancy services to Co-operatives in Tanzania. The Act was amended by the Parliament in April 2005 and assented by the President of The United Republic of Tanzania on 6th June, 2005 to empower the corporation to extent its audit and Consultancy services as well to non-Cooperative entities.


Our Services

  • Audit of financial statements
  • Conducting Investigations
  • Provide consultancy services
  • Conducting on job training

Audit & Consultancy Services

  • Audit Services to non Cooperative clients
  • Audit Service to Cooperatives
  • Consultancy Services

Our Clients

  • Cooperatives
  • NGO's
  • Public Coorporation
  • Financial Institutions and Banks
  • Other Companies

Recent Videos

  1. 1
  2. 2
  3. 3
  1. 1
  2. 2
  3. 3

___________________________